Mobile Studio-Video Shooting-Studio Facilities-Modeling-Wedding Portraits Photo Card-Printing Facilities:-Mag-Crystal-Name Beg-T shirts-Photo Calendars-Fast Reprint-Instant Photo to Photo-Passport Size. etc K A R I B U N I - S A NA
Friday, July 20, 2012
Monday, July 9, 2012
Welcome to Linda Ikeji's Blog: Usher's 11yr old stepson declared brain dead after...
Welcome to Linda Ikeji's Blog: Usher's 11yr old stepson declared brain dead after...: Usher's ex-wife Tameka Raymond's 11 year old son, Kyle Glover, was critically injured in a jet ski accident on Lake Lanier on Saturday July...
Thursday, May 10, 2012
STUDIO YA KISASA IMEFUNGLIWA PALMS RESIDENCE NEAR OCEAN ROAD HOSPITAL.
KARIBUNI SANA TUNAPIGA PICHA ZA MAHARUSI-PIA MAHARUSI WANA CHUMBA CHA KUPUMZIKIA .
TUNAFANYA MOBILE STUDIO-MODELING-FUNERAL SHOOTING-STUDIO FACILITIES-WEDDING PORTRAITS.PASSPORT SIZE ZA KILA AINA-RED EYE REMOVAL NA KADHALIKA
TUPIGIE 0772 444299/0777280674
KARIBUNI SANA.
KARIBUNI SANA TUNAPIGA PICHA ZA MAHARUSI-PIA MAHARUSI WANA CHUMBA CHA KUPUMZIKIA .
TUNAFANYA MOBILE STUDIO-MODELING-FUNERAL SHOOTING-STUDIO FACILITIES-WEDDING PORTRAITS.PASSPORT SIZE ZA KILA AINA-RED EYE REMOVAL NA KADHALIKA
TUPIGIE 0772 444299/0777280674
KARIBUNI SANA.
Friday, April 6, 2012
KANUMBA THE GREAT-UNCLE JJ AFARIKI DUNIA USIKU WA IJUMAA KUU
Habari ambazo zimethibitishwa kuwa The Great Kanumba amefariki Dunia usiku wa Ijumaa kuu.
Mwandishi wa habari hii amethibitisha hilo baada ya kuona mwili wake ukiwa ndani ya Gari bwa jeusi aina ya Lexus ukiingizwa Hospitali ya Muhimbili
Ilikuwa ni Majonzi makubwa wana filamu wakiwa katika hali ya mshutuko,huku Richie richie akilia kwa uchungu na kusaidiwa na dada ambaye jina lake halikuweza kupatikana.
Kanumba ni Msanii aliekuwa amejitoa sana katika kazi za kijamii pia
Lala salama Kanumba utakumbukwa kwa mengi sana hakika watanzania huu ni msiba mkubwa sana
Mwandishi wa habari hii amethibitisha hilo baada ya kuona mwili wake ukiwa ndani ya Gari bwa jeusi aina ya Lexus ukiingizwa Hospitali ya Muhimbili
Ilikuwa ni Majonzi makubwa wana filamu wakiwa katika hali ya mshutuko,huku Richie richie akilia kwa uchungu na kusaidiwa na dada ambaye jina lake halikuweza kupatikana.
Kanumba ni Msanii aliekuwa amejitoa sana katika kazi za kijamii pia
Lala salama Kanumba utakumbukwa kwa mengi sana hakika watanzania huu ni msiba mkubwa sana
Wednesday, March 7, 2012
MAJONZI MAKUBWA HAKIKA SAFARI YA MWISHO YA JANE IMETIMIA
Familia ya Mhandisi Gabriel Mponzi katika misa ya kumuombea Marehemu Jane kabla ya safari ya Ipamba Kuanza
Ben Mponzi akisoma Historia fupi ya Dada yake Jane Mponzi
Lala Salama Jane hii ni njia ya wote-tutakukumbuka sana kwa ucheshi wako
Ben Mponzi akisoma Historia fupi ya Dada yake Jane Mponzi
Lala Salama Jane hii ni njia ya wote-tutakukumbuka sana kwa ucheshi wako
Rest in Peace Jane Gabriel Mponzi
Subscribe to:
Posts (Atom)
CHELLOU STUDIO

PALMS RESIDENCE CHIMARA STREET
