Pages

Friday, April 6, 2012

KANUMBA THE GREAT-UNCLE JJ AFARIKI DUNIA USIKU WA IJUMAA KUU

Habari ambazo zimethibitishwa kuwa The Great Kanumba amefariki Dunia usiku wa Ijumaa kuu.
Mwandishi wa habari hii amethibitisha hilo baada ya kuona mwili wake ukiwa ndani ya Gari bwa jeusi aina ya Lexus ukiingizwa Hospitali ya Muhimbili

Ilikuwa ni Majonzi makubwa wana filamu wakiwa katika hali ya mshutuko,huku Richie richie akilia kwa uchungu na kusaidiwa na dada ambaye jina lake halikuweza kupatikana.

Kanumba ni Msanii aliekuwa amejitoa sana katika kazi za kijamii pia

Lala salama Kanumba utakumbukwa kwa mengi sana hakika watanzania huu ni msiba mkubwa sana

TASNIA YA FILAMU IMEPOTEZA MTU ALIEPENDWA SANA




R.I.P OUR KANUMBA

REST IN PEACE THE GREAT

CHELLOU STUDIO

CHELLOU STUDIO
PALMS RESIDENCE CHIMARA STREET